Adverts

Aug 11, 2012

HATIMAYE NYENYEMBE AREJEA KUVAA VIATU VYAKE KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MBEYA

Mwenyekiti mpya wa Mbeya Press Club aliye simama ndugu Christopher Nyanyembe akitoa Shukrani zake
Ilikuwa ni mapema baada ya uchaguzi ambapo kiongozi mpya Christopher Nyanyembe alipongezana na mpinzani wake, kiongozi huyo mpya ameshinda kwa kura 27

 Waandishi wa habari wakiwapongeza viongozi wapya
Hii Ndio kamati kuu Iliyo chaguliwa katika kuendesha Klabu ya waandishi Mbeya, akiwemo mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Ndugu Joseph Mwaisango wa Kwanza kulia kwa walio simama.

KUTOKA MBEYA YETU BLOG