Adverts

Aug 10, 2012

MKUTANO MKUU WA MBEYA PRESS CLUB WAENDELEA KYELA

Mwenyekiti wa Mbeya press club Christopher Nyenyembe akizungumza kwenye mkutano mkuu ulioketi wilayani Kyela ambapo wadau wa sekta ya habari wameshiriki kupima na kutathmini maendeleo ya sekta hiyo mkoani mbeya
Mwenykiti wa Halmashauri ya wilaya yaKyela akifungua mkutano huo