Adverts

Jan 15, 2013

Balozi wa Uingereza amuaga Rais Kikwete leo


Balozi wa Uingereza anayemaliza muda wake Mhe. Diane Corner akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Kitabu cha historia ya Uendeshaji Jeshi la Wananchi wa Tanzania kilichoandikwa kwa ushirikiano wa wataalamu wa historia kutoka JWTZ na ubalozi wa Uingereza, wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam leo bada  ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi nchini. Picha na Freddy Maro wa Ikulu