Adverts

Jan 18, 2013

MABALOZI WAPYA WAWASILISHA HATI ZAO ZA UTAMBULISHO NCHINI


Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Msumbiji na Indonesia Ikulu jijini Dar es Salaam.Pichani ni Balozi mpya wa Msumbiji nchini Tanzania Dkt.Vicente Mebunia Veloso. 


Balozi Mpya wa Indonesia nchini, Mhe.Zakaria Anshar wakiwasilisha hati zao za utambulisho kwa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.