Adverts

Jan 16, 2013

PRECISIONAIR YAINGIA KA MBWEMBE MKOANI MBEYA


Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya ATHUMAN DIWANI akiwa karibu kabisa na mwandishi George Chanda *mwenye notebook, pamoja na mkuu wa wilaya Mbeya Dr Norman Sigalla mwenye saa ya kung'aa mstari wa mbele na viongozi wengine