Adverts

Mar 21, 2013

NYAMA BWANA!! WATU HAWAKUJALI KIBUDU

siku wananchi wa miji ya Tunduma, Vwawa na Mlowo walipolishwa vibudu baada ya wanachi kuvamia gari lililopata ajali likiwa limebeba ng'ombe kutoka Sumbawanga kupinduka eneo la OldVwawa darajani na kusababisha vifo vya ng'ombe zaidi ya 25, kwa mbaali katika picha wanaonekana wananchi wakiendelea kuchinja mizoga! huku mmoja akining'inia kwenye gari hilo