Adverts

Jul 9, 2013

AFYA YAPEWA KIPAUMBELE MBOZI



Na Anjela Kivavala DSJ

Wilaya ya mbozi imetoakipaumbele katika  sekta ya afya ikiwa na lengo la kupunguza vifo vya mama na mtoto

Katika sera ya afya ya Tanzania inataka kila kijiji  kuwa na zahanati katika halmashauri ya wilaya ya Mbozi sera iyo imeweza kuleta matumaini kwa wananchi kujenga zahanati zipatazo 20  kati ya hizo 3 zimekamilika na zimeanza kamilika.

Vifo vya wajawazito na watoto vimepungua kutokana na kuimalishwa kwa huduma za rufaa kuongezeka kwa  wa taaramu na kuongezeka kwa vituo vya huduma ya mama na mtoto ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa vituo vya (RCH) kutoka 30 had 45

Hata hivyo Halmashauri ya wilaya yaMbozi imefanikiwa kuwa navituo vya upimaji wa hiyari wa VVU na vituo vya kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kenda kwa mtoto pia halmashauri imefanikiwa  kuwa na vituo 40 vinavyotoa  huduma za kupima malaria kwa kutumia malaria vilivyoboreshwa na kutoa majibu ya uhakika na kwa muda mfupi(Rapid diagnosis Test)

 Halmashauri imefanikiwa kuajili wa fanyakazi katika huduma ya afya wapatao kumi 10 ili kuweza ku kidhi maitaji katika kwa wagonjwa katika wilaya ya mbozi.

Yalisemwa katika  hotuba kwa wananchi wa wilaya ya mbozi katika siku ya selikari za mitaa iliyo fanyika kiwilaya kata ya igamba iliyo andaliwa na ofisi ya mkurugezi mtendaji wilaya ya mbozi ikiwa na kauli mbiu “Amani, Uadilifu na Uwajibikaji kwa wote ni Nyenzo muhimu katika mchakato wa Katiba mpya na Ustawi wa Serikali za Mitaa”