Adverts

Oct 14, 2013

KLABU YA WAPINGA RUSHWA NANSWILU MBOZI YAZINDULIWA

Kikundi cha wanafunzi wanachama wa klabu ya wapinga rushwa katika shule ya sekondari ya Nanswilu kilichozinduliwa wakati wa mbio za mwenge wilayani Mbozi  ni chembe ya aladari katika kueneza kampeni za kupinga rushwa kuanzia kizazi cha watoto hadi watu wazima. Kampeni hzi zinapaswa kuenezwa nchi nzima ili ziweze kusaidia kukabiliana na changamoto za rushwa nchini