Adverts

Oct 21, 2013

MDAU KYANDO APATA JIKO

Bwana Aitwa Kyando akiwa na mkewe wakipata baraka za mwisho baada ya ibada ya Ndoa iliyofanyika katika Kanisa la KKKT Bwawani mkoani  Pwani  hivi karibuni

Bwana na Bi Harusi na wapambe wao wakiwa mbele ya Usharika kuthibitisha kuanza maisha mapya ya ndoa

Ndugu jamaa na marafiki wakifuatilia ibada ya ndoa 

AAAAAAMEEEEENIIII  NDIVYO WANAVYOITIKIA WAUMINI 

MASHUHUDA WAKIWA KANISANI KUFUATILIA IBADA YA NDOA

IBADA IKIENDELEA