Adverts

Oct 27, 2013

NABI NA MHUBIRI WA KIMATAIFA TB JOSHUA, AMETOA MAONO KUWA KUNA KIONGOZI WA AFRIKA MASHARIKI ATATEKWA


TB Joshua Jumapili 27/10/2013, ameonyeshwa rais mmoja Africa atatekwa
aidha ameonyeshwa watu wakiwa club wanacheza then wanalipukiwa na nchi iyo ni jirani na Kenya, Angalizo, amesema siyo kenya tena,

Hata hivyo hajataja nchi yeyote katika Afrika Mashariki ingawa katika ramani ya sasa inaonyesha kuwepo kwa nchi Tano zikiwemo Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Tanzania

Misa ya leo katika kipindi chake cha unabii ndipo alipokuja na unabii huo ambao ni sehemu ya maono aliyooteshwa


amesema ataendelea kuomba ili jumatano na alhamisi ijayo aonyeshwe ni rais gani na nchi gani.