Adverts

Oct 21, 2013

UWANJA WA NDEGE WA SONGWE WAKARIBISHA WAWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA MAGHALA

Mwendeshaji wa mtandao wa Indaba africa akiwa nje ya  uwanja wa ndege wa songwe mwishoni mwa wiki iliyopita 

Afisa uendeshaji na Masoko wa uwanja wa Ndege wa Songwe bwana Kyomo akizungumza na wandishi wa habari kuhusiana na fulsa zilizopo kufuatia ujenzi wa uwanja huo

Meneja usalama wa anga wa uwanja wa ndege wa Songwe akionyesha njia za ndege kwenye moja ya zana zake katika chumba cha kuongozea ndege kwenye uwanja wa ndege wa songwe mkoani Mbeya