Adverts

Nov 5, 2013

MCHANGO WA FM RADIO KUJENGA UELEWA KWA WANANCHI UKOJE?

Huyu ni mmoja wa watangazaji katika vituo vya FM akikuletea matangazo ya moja kwa moja kutoka uwanja wa Mashujaa Mkoani Njombe, anaitwa Hamis Kassapa akiripotia  UPLANDS FM ya Njombe. Yapo mambo mengi ya mafanikio yanayoweza kuelezewa na wananchi kama mafanikio ya uwepo wa vituo vya redio za FM kwenye maeneo yao ya karibu na hasa katika upashaji na utoaji elimu, je wewe unadhani ni jambo gani jipya ulilojifunza kupitia matangazo ya miongoni mwa vituo hivi?