Adverts

Nov 4, 2013

TAKWIMU MPYA ZA UKIMWI ZATOA AHUENI KIDOGO KWA MKOA WA MBEYA

 Mratibu wa Ukimwi Wilaya ya Mbozi akitoa somo kwa walimu walioajiriwa hivi karibuni  juu ya kutekeleza mpango wa mapambano dhidi ya UKIMWI mahala pa kazi
 Walimu wapya wakiwa katika majadiliano ya  makundi kuweka mikakati ya kushughulikia kwenye maeneo yao mapya ya kazi

Mmoja wa washiriki akiwasilisha mbele ya wenzake vikwazo vinavyochangia maambukizi na hatua zinazopendekezwa katika maeneo yao ya kazi