Adverts

Jan 26, 2014

mbozi yajipanga kukabiliana na uhaba wa madarasa

 watendaji kata katika wilaya ya Mbozi wakiwa kwenye kikao cha kikazi kwaajili ya kutoa taarifa ya hali ya madarasa kwaaajili ya kuanza kidato cha kwanza
 Afisa Mipango wilaya ya Mbozi bwana Elisey Ngoi akifafanua jambo kwenye kikao hicho