| Baadhi ya wamachinga wakiwa wamelipindua gari yaina ya toyota na kusimama juu yake huku wakitamka maneno makali kwa polisi na jiji la mbeya kwa kuwanyanyasa katika biashara zao | 
| Moja ya mabango waliyobeba wamachinga hao | 
| Wamachinga wakiwazomea polisi eneo la kabwe | 
| Maduka yote eneo la mwanjelwa mpaka uyole yamefungwa | 
| Moja ya gari lililobinuliwa na kuwekwa katikati ya barabara ya mbeya tunduma | 
| Huu ndiyo mtaa wengi huuita mtaa wa kasisi uliyosababisha vurugu zote kati ya wamachinga na askari wa jiji | 
| Mmachinga akiwarushia jiwe kwa kutumia manati yaani ni hatari tupu | 
| Askari wa kutuliza fujo naye akiwarushia bomu la machozi wamachinga wanaoandamana | 
| RISASI ZA MOTO NAZO ZIMETUMIKA KATIKA TUKUKIO HILI | 
| MABOMU YA MACHOZI NDIYO USISEME KILA MAHALI YAMETAPAKAA | 
| Mwenye kofia haya mwenye supu haya kila mmoja alikua anaokoa uhai wake | 
