Indaba blog is rural based online news for rural and urban community!!
Jan 3, 2012
Pinda atufunda nini kufanya tunapochukua likizo
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa mapumzikoni kijijni kwake Kibaoni - Mpanda
Kubadilisha mazingira na kuongea na hawa malaika kwa kweli ni burudani tosha kuondoa virus ndani ya system ya ubongo na hivyo kurudi kazini na fresh mind.