Adverts

Sep 30, 2010

DARAJA KUUUUUBWA ANALOTARAJIA KUJENGA JK KAMSAMBA

Nakumbuka mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ahadi zake alitaja kuwa daraja la Kamsamba kuunganisha Upande wa Rukwa litajengwa kupitia TANROADS mkoa wa Mbeya, hii ni habari ya Matumaini kama utekelezaji wake utafanyika, huu ndiyo upana wa mto huo ambao kila mwaka umekuwa ukimeza maisha ya wananchi wa eneo hilo kutokana na kuwepo mamba wengi kwenye mto  huo ambao hutokea ziwa Rukwa.