Adverts

Sep 30, 2010

MCHUNGAJI GEOFREY MWAKIHABA ALIPOPEWA BARAKA YA ASKOFU MSAIDIZI

 Mchungaji huyu nakumbuka ndiye aliyefungisha ndoa yangu, dalili ni njema kwa safari yako ya kumtumikia mungu.
Washarika wa usharika wa KKKT Forest wanakutakia utekelezaji mwema wa majukumu ya nafasi hii kubwa ya kuwa (askofu msaidizi) mshauri mkuu wa askofu wa KKKT dayosisi ya Konde.