Adverts

Sep 29, 2010

PIA KUNA MAMBO YA KALE KAMA HAYA

Hili ndilo linaloaminika kuwa jiko lililotumika miaka ya 1800 kufua chuma kwaaajili ya kutengenezea bidhaa mbalimbali zikiwemo zana za kilimo na silaha. Mambo haya yanapatikana katika wilaya ya Mbozi kata ya Kapele.

Baadhi ya mabaki ya chuma kilichotengenezwa na jiko la hapo juu kikionyeshwa na mmoja wa wazee wanaosimulia juu ya kusikia habari za jiko hilo kwa babu zao miaka ya 1916! ulikuwepo??? je tukiita watalii hizi siyo helaa????