Adverts

Nov 30, 2010

MH MBEGA APELEKA PINGAMIZI MAHAKAMANI KUPINGA USHINDI WA MCHUNGAJI MSIGWA

Taarifa kutoka mtandao wa mdau Francis Godwin unaonyesha kuwa Mh Mama Monica Mbega Mahuvi amefikisha mahakamani pingamizi lake lakutaka matokeo ya uchaguzi wa nafasi ya ubunge kwa jimbo la Iringa mjini yatenguliwe na mahakama kuu