Adverts

Nov 28, 2010

Niombe radhi wadau mtandao ulicrash kidogo

Ndugu wadau sikuwa hewani kwa muda wa wiki tatu kutokana na kuathiriwa na teknolojia kwani kila nikiingiza password ilikuwa inanikatalia sijui kuna fundi alinifanyia maufndi yake. nimerejea baada ya kutafuta waganga wa fani hiyo
thanks for being patient
indaba2010