Adverts

Nov 30, 2010

Spika makinda ziarani namibia

Mhe. Anne Makinda (Mb)Spika wa Bunge na Makamu Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, SADC-PF (kulia) akibadilishana mawazo na Katibu Mkuu wa Jukwaa hilo Mhe. Essau Chiviya , wakati wa kikao cha Kamati Tendaji mjini Swakompmund, Namibia tarehe 29/12/2010 baada ya kupitia agenda na maandalizi ya Mkutano wa 28 wa SADC-PF utakaofunguliwa na Rais wa Namibia Mhe, Hifikepunye Pohamba tarehe