Adverts

Nov 28, 2010

TEKNOLOJIA YA UJENZI WA LAMI KWA KUTUMIA NGUVU KAZI HII HAPA

Shirika la maendeleo la JAPAN limetambulisha teknolojia mpya ya ujenzi wa lami kwa kutumia nguvu kazi ambapo majaribio yake yanafanywa katika mkoa wa Mbeya.

zifuatazo hapa ni shemeu  ya picha za utekelezaji wa majaribio ya mradi huo unaosimamiwa na kampuni ya Eight Japaniese Engineering Company EJEC

 PICHA ZOTE KWA HISANI YA EJEC/JICA