Adverts

Apr 30, 2011

MBEYA PRESS CLUB HALI YAWA TETE LEO HII

 UKUMBI WA HOTEL YA MBEYA PEACK AMBAO MKUTANO WA WANDISHI WA MBEYA PRESS UNAFANYIKA
 Wajumbe wakiwa makini kusikiliza maelezo ya katibu Bw. Patrick Kossima
 Katibu Kosima akitoa maelezo kwenye mkutano huo, katikati ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi George Chanda  na Bi Sada Matiku wakifuatilia maelezo.





 Mmoja wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti Christopher Nyenyembe akisikiliza maelezo ya msimamizi wa uchaguzi