Adverts

Jul 29, 2011

MATUKIO KUTOKA BUNGENI DODOMA

Mbunge wa Mtera, Job Lusinde akiwa na Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 29, 2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanakwaya ya Kanisa la Moravian ya Mbeya Mjini kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 29, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
"