| Washiriki wakifuatilia mawasilisho katika ukumbi wa hotel ya Millenium Sea Beach View Bagamoyo | 
| Mkurugenzi wa TACAIDS katika eneo la Ulagbishi na miongozo ya kinga Bwana ASHIM KALINGA akionyesha mkakati wa Taifa wa kudhibiti Maambukizi ya VVU wa mwaka 2008-2012 wakati wa kufunga warsha hiyo | 
| Baada ya hapo ikawa ni kupause kwa picha | 
| Haule naye wa Njombe alikuwepo!! | 
| Mwanya bwana!!!!!! | 
