Oct 25, 2010
CHILEWA AKIFANYA MAJARIBIO KWENYE MOJA YA MAGARI YA TAKA
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbozi Levison Chillewa akijaribu kuwasha moja ya magari yaliyotolewa kusaidia shughuli za usafi katika mji mdogo wa Tunduma ambao upo mpakani mwa Tanzania na Zambia.
MAANDALIZI YA WEKA TUNDUMA SAFI YAANZA
Kampeni kubwa ya kuufanya mji wa Tunduma kuwa safi ikiwa ni harakati za kuiondoa aibu kwenye macho ya nchi jirani kutokana na hali ya uchafu wa mji huo hapo awali- sasa imepamba moto baada ya halmashauri mama ya wilaya ya Mbozi kuamua kuusaidia mji mdogo wa Tunduma magari mapya mawili ya kuzoa taka yaliyonunuliwa kwa zaidi ya milion 150. Huu ni mfano mzuri kwa miji mingine katika kuhakikisha suala ya la usafi wa mazingira kuwa moja ya maeneo ya kimkakati. Tunduma ingawa ni sehemu ya eneo la wilaua ya Mbozi bado shughuli zake za kiuchumi kwa sehemu kubwa zinachangia mapato ya moja kwa moja kwenye serikali kuu (HAZINA) lakini wananchi wanahoji kiasi gani kinarejeshwa kwa uhalibifu wa mazingira unaofanywa na shughuli hizo kwenye eneo hilo kwa ujumla? manake maambukizi ya HIV kwa sehemu kubwa yanachangiwa na shughuli hizo za border post any way tupo kwenye majadiliano karibuni
Christian naye ana matumaini na Tanzania ijayo
Ingawa mama yake anaonekana kama anaelekea kukata tamaa kwa jinsi ninavyoendesha serikali ya familia yangu lakini kijana wangu Christian anaonekana ana matumaini makubwa na serikali yangu baba yake! Nakutakia maisha marefu na yenye busara na neema mwanangu Christian
Oct 5, 2010
UWANJA WA AMANI ZANZIBAR UPO TAYARI KUTUMIKA
Baada ya ukarabati wa kampuni kutoka China, uwanja wa amani unaonekana murua ukiwa umewekwa zuria kwenye eneo la kukimbilia huku hoteli zake zikiwa saafi baada ya ukarabati mkubwa: picha kwa kudesa kutoka issamichuzi blog
Oct 4, 2010
PM AKIWA NA BAN Ki Moon septemba 27,2010
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana huku akipiga picha na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon kabla ya mazungumzo yao kwenye Ofisi za Umoja huo jijiniNew York Septemba 27, 2010. Mheshimiwa Pinda alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye umoja wa Mataifa.indaba2010
MAMBO YA FEDE KWENYE MTANDAO WA KATUNI
Mtembelee Mtaalam wa katuni hizi za kisiasa na kijamii na nyanja nyingine muhimu katika
.BLOG: www.artsfede.blogspot.com.
indaba2010
BARUA YA MTOTO KWA MWENYEZI MUNGU
Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 9 alikuwa anahitaji sana shilingi 100,000
(Laki moja). Akamuuliza mama yake ni jinsi gani anaweza kupata pesa hizo. Mama yake
akamwambia "muombe Mungu atakupatia. Mtoto alianza kuomba kila siku na kila
mara lakini hakupata hiyo pesa toka kwa Mungu. Hatimaye akafikia uamuzi wa
kumuandikia barua Mungu ili asome maombi yake.
Kisha akai-post barua ile. Wakati wafanyakazi wa posta wakichambua barua
kwa
ajili ya kuzipeleka sehemu husika, walishangazwa kuona bahasha iliyoandikwa
"Kwa Mwenyezi Mungu" na wakashindwa kuelewa mahali pa kuipeleka, Wakaamua
kuifungua.
Barua ilisomeka hivi:
"Mpendwa Mungu,
Jina langu ni EMMANUELEY, nina umri wa miaka 9 na ninasoma darasa la tatu
katika
jiji la Dar es salaam ambalo liko katika nchi ya Tanzania , bara la Africa .
Nimeamua kukuandikia barua hii kukuomba kiasi cha shilingi laki moja baada ya
kuomba bila kupata majibu toka kwako.
Naombasana unisaidie kwani mimi ni mtoto mdogo na sina uwezo wa kufanya
kazi na
kupata pesa. Pia wazazi wangu hawana uwezo kwani hata nchi yetu ni maskini
sana .
Natanguliza shukrani.
Wako mtiifu,
EMMA."
Wafanyakazi wa posta walifurahishwasana na barua hiyo na kisha wakaamua
waipeleke kwa Rais . Rais naye alipoipokea ilimfurahisha
sana na
kisha akamwambia Secretary wake achukue sh. 2000 amtumie mtoto huyo akidhani
kuwa pesa hizo ataziona kuwa nyingisana .
Mtoto huyo alipopokea hizo shilingi 2000 alijibu hivi:
"Mpendwa Mungu wangu,
Nashukurusana kwa kusikiliza maombi yangu na kunitumia pesa nilizokuomba.
Lakini nimebaini kuwa uliamua kuzituma kupitia serikali yetu yaTanzania .Kama ilivyo kawaida yao , wamekata kiasi cha sh. 98,000 kwa ajili ya kodi , kwa hiyo wameniletea Sh. 2000 tu
(Laki moja). Akamuuliza mama yake ni jinsi gani anaweza kupata pesa hizo. Mama yake
akamwambia "muombe Mungu atakupatia. Mtoto alianza kuomba kila siku na kila
mara lakini hakupata hiyo pesa toka kwa Mungu. Hatimaye akafikia uamuzi wa
kumuandikia barua Mungu ili asome maombi yake.
Kisha akai-post barua ile. Wakati wafanyakazi wa posta wakichambua barua
kwa
ajili ya kuzipeleka sehemu husika, walishangazwa kuona bahasha iliyoandikwa
"Kwa Mwenyezi Mungu" na wakashindwa kuelewa mahali pa kuipeleka, Wakaamua
kuifungua.
Barua ilisomeka hivi:
"Mpendwa Mungu,
Jina langu ni EMMANUELEY, nina umri wa miaka 9 na ninasoma darasa la tatu
katika
jiji la Dar es salaam ambalo liko katika nchi ya Tanzania , bara la Africa .
Nimeamua kukuandikia barua hii kukuomba kiasi cha shilingi laki moja baada ya
kuomba bila kupata majibu toka kwako.
Naomba
kazi na
kupata pesa. Pia wazazi wangu hawana uwezo kwani hata nchi yetu ni maskini
Natanguliza shukrani.
Wako mtiifu,
EMMA."
Wafanyakazi wa posta walifurahishwa
waipeleke kwa Rais . Rais naye alipoipokea ilimfurahisha
kisha akamwambia Secretary wake achukue sh. 2000 amtumie mtoto huyo akidhani
kuwa pesa hizo ataziona kuwa nyingi
Mtoto huyo alipopokea hizo shilingi 2000 alijibu hivi:
"Mpendwa Mungu wangu,
Nashukuru
Lakini nimebaini kuwa uliamua kuzituma kupitia serikali yetu ya
MAMBO YA MUSTAPHA HASSANALI
Designers listerning to Patrick Lumumba of the Production Facility they visited on 30 September 2010.
Designers attending how the pattern drafting works
Picha kupitia mtandao wake.
Designers attending how the pattern drafting works