Adverts

Sep 20, 2011

Rais Kikwete apata tuzo, ashiriki shughuli mbalimbali New York Jumatatu

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipewa tuzo na Waziri Mkuu wa Antigua and Barbuda Mh. Winston Baldwin Spencer kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya afya, teknolojia na maendeleo kwenye hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na taasisi ya South-South katika hoteli ya Waldorf Astoria jijini New York Jumatatu usiku.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi tuzo hiyo kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe baada ya kuipokea. Nyuma ya Mh. Membe ni Balozi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa Mh Ombeni Sefue (kushoto) na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh Mwanaidi Maajar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akitoa shukrani kwa kupewa tuzo hiyo. Marais Paul Kagame wa Rwanda, Abdoulaye Wade wa senegal na Mwai kibaki wa Kenya, pia walipokea tuzo kwa michango yao katika maendeleo ya nchi zao
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipewa shada ya maua kama pongezi kwa kupokea tuzo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa na Dkt Marion Bergam, Mkurugenzi wa miradi ya Health Care Projects ya Miracle Corners of the World katika mkutano wa kwanza wa kuhimiza hatua zichukukuliwe dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza, hususan ya kinywa. Serikali ya Tanzania ndiyo iliyodhamini mkutano huo uliofanyika Chuo Kikuu cha New York kitivo cha meno
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea wakati wa hafla ya kupongeza mafanikio ya juhudi za kupambana na ugonjwa wa malaria ya Roll Back Malaria katika hoteli ya Intercontinental jijini New York
Sehemu ya umati uliohudhuria hafla hiyo ya Roll Back Malaria
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa Dkt Asha Rose migiro kwenye hafla hiyo ya Roll Malaria
Mwanamuziki maarufu wa Afrika Kusini ambaye ni Balozi wa heshima wa Roll Back Malaria Yvonne Chakachaka akiendesha shughuli hiyo kama MC
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete kihutubia mkutano wa kuhamasisha utokomezaji wa magonjwa ya Kinywa katika kitivo cha tiba ya Meno cha Chuo Kikuu cha New York. Mkutano huu uliandaliwa na kudhamini na Serikali ya Tanzania na wafadhili-wenza ambao ni Serikali za Australia, Sweden na Shirika la Afya Duniani (WHO)
Sehemu ya ujumbe wa Watanzania kutoka sekta ya utalii
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii wa zanzibar Mh Juma Duni Haji (kati) na wasaidizi wake kwenye hafla hiyo
Wahudhuriaji wakimshangilia Rais Kikwete baada ya kutoa mada yake ya ufunguzi
Meza kuu inasimama kupiga makofi baada ya mkutano huo
Madaktari Bingwa kutoka Wizara ya Afya na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakisubiri kugawa vipeperushi kwa wanaoingia mkutanoni
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Profesa Makame Mnyaa Mbawala (kati), Waziri wa Maliasili na Utalii (shoto) pamoja na Mbunge wa Bukombe, Profesa Kulikoyela Kahidi wakiperuzi maandiko kuhusiana na mkutano huo wa kuhamasisha vita dhidi ya magonjwa ya kinywa
Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Mama Blandina Nyoni (kushoto) na Mganga Mkuu wa Serikali Dkt Deo Mutasiwa wakipozi na Dkt Marion Bergman (kati) wakati wa mkutano huo wa kuhamsasisha kuchukuliwa kwa hatua kutokomeza magonjwa ya kinywa
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na wenzie wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mama Hilary Clinton alipokuwa akifungua mjadala wa maendeleo ya wanawake katika kujiendeleza kwa Kilimo katika hoteli ya Intercontinental jijini New York
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na wenzie katika mjadala uliofunguliwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mama Hilary Clinton kuhusu maendeleo ya mwanamke katika kujiendeleza kwa Kilimo katika hoteli ya Intercontinental jijini New York
Umati wa watu katika Mjadala huo
Jedwali la ALMA lililozinduliwa Jumatatu lenye kutoa dira na namna kila nchi wanachama wanavyopambana na ugonjwa wa Malaria
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihojiwa juu ya maendeleo ya mpango huo wa ALMA
Mmoja wa waliohudhuria hafla hii akipitia jedwali la African Leaders Malaria Alliance (ALMA)
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba wakati wa uzinduzi wa Jedwali la uwajibikaji na kuchukua hatua dhidi ya ugonjwa wa malaria uliondaliwa na taasisi ya viongozi wanaopigana kuondoa malaria Afrika ya African Leaders Malaria Alliance (ALMA) ambayo yeye ndiye mwenyekiti wake. Pamoja naye meza kuu ni viongozi wa juu wa ALMA, Benki ya Dunia, WHO na Umoja wa Mataifa KUTOKA IKULU MAWASILIANO BLOG

Does the US have leverage over the PLO?

The Palestine Liberation Organisation seems to have passed the point of no return in its bid for full membership at the United Nations. Mahmoud Abbas could still abandon the bid - he will not formally submit the PLO's request until later this week - but that would be a politically ruinous move after his speech on Friday night.

Nonetheless, the United States and the European Union are still trying to convince Abbas to back down. There will be a few frantic meetings in New York this week ahead of Abbas' speech to the UN General Assembly on Friday.

The carrot they are offering him is the prospect of renewed negotiations with Israel, possibly with a timer attached: If talks do not go anywhere after, say, six months, the so-called Quartet would then endorse the PLO's bid for UN membership.

Abbas does not seem interested. As we reported on Saturday, it was one of these US proposals for renewed talks (which Nabil Shaath described as "useless") that convinced Abbas he needed to go to the Security Council.

That leaves sticks. The most compelling one, you would think, is the possibility that US lawmakers will slash aid to the Palestinian Authority, which depends heavily on foreign aid.

The US gave the PA roughly $470m last year, more than 10 per cent of the authority's budget. Various lawmakers, Republican and Democrat, have suggested cutting that aid after the UN vote. At a congressional hearing last week, Steve Chabot, a Republican congressman from Ohio, said "the question before this Congress will not be what portion of our aid will be cut, but rather what portion will remain".

But would Washington follow through on that threat?

Israel, after all, does not really want to undermine the Palestinian Authority, which provides security and basic services in the Palestinian-controlled parts of the occupied West Bank. If the sulta (as it is known) went bankrupt, the Israeli government would be responsible for those functions, something it cannot afford - especially now with hundreds of thousands of Israelis protesting in the streets over socioeconomic problems.

Indeed, a number of high-ranking Israeli ministers, including defence minister Ehud Barak, have warned against punitive measures for exactly that reason. As Ha'aretz reported today:

[Barak and others] warn that it could lead to violence and the cessation of security cooperation between the PA and Israel, and could, under certain circumstances, lead to the total collapse of the PA, throwing responsibility for all of the West Bank's inhabitants back on Israel.

Congress is usually quite responsive to Israeli concerns (to say the least). And even if Congress cuts aid to the PA, US President Barack Obama could reinstate it with an executive order.

So cutting aid to the PA seems like an empty threat. What does that leave? Not much, according to a summary of last week's congressional hearing, which was dominated by conservative and "pro-Israel" witnesses.

The most popular ideas were shutting the PLO's mission in Washington and auditing Abbas' personal finances, neither of which seems very compelling.

Abbas could still back down at the 11th hour. I have spoken with quite a few Palestinians in the West Bank and Gaza Strip who expect that he will. But - in the absence of any compelling proposals from the Quartet and any real pressure from the US - it is hard to see why he would.

KUTOKA ALJAZEERA BLOG

'Shoot the Boer' freedom song banned

South African judge Collin Lamont has ordered African National Congress youth league leader Julius Malema and his ruling ANC party not to sing the freedom struggle song 'Dubul ibhunu'.

Lamont called the song hate speech and ordered that the words not be used publicly or privately.

The Afrikaans interest group Afriforum seems pleased with the decision. They say the struggle song, loosely translated, means "shoot the Boer".

Another line in the song is also loosely translated as, "They are scared, the cowards. You shoot the Boer. They rob, these dogs".

The song refers to Afrikaners in South Africa - the white minority ethnic group who ruled the country during the Apartheid era.

Afriforum argues the word Boer refers to Afrikaners or farmers and say the lyrics incite violence towards their ethnic group.

They have a point.

Malema is a very public - and some would argue - influential figure in South Africa. Perhaps someone might take the worlds literally. I don't see it happening though.

Malema argues the contentious lyrics were taken out of context and that the word Boer does not refer to Afrikaners, but to the system of apartheid.

During the fight against colonialism, struggle songs were what kept freedom fighters going. The psychological encouragement they needed to overthrow minority rule.

Years later, these songs have become part of history - they cannot be easily wiped away by a court order. The song is a legacy, part of the ANC's history.

Minutes after the ruling was made to ban the song, ANC supporters started singing the controversial song - making it clear they will not be silenced.

What about all the other struggle songs that have similar lyrics or imply the same thing. Do we just erase those songs from history too?

Many black South Africans are angry. Some have even said they feel insulted. They say they feel the years they fought against the apartheid regime are being slowly erased.

Just think about it. The majority of people here are black and they feel they are being told by the white minority not to embrace their heritage. I understand their anger.

Where does one draw the line between hate speech and a song many South Africans see has an important part of the country's history?

This ruling may have opened a can of worms. Malema plans to challenge the court ruling - so the matter isn't over.

I suspect the fiery youth league leader may sing the song in public again ... he has done it before. Police didn't arrest ANC supporters singing the shoot the Boer song outside the court room on Monday.

What will happen when ANC supporters gather at a political rally and thousands start belting out the tune?

Some people are calling this case a black versus white issue. Some are even saying had the judge been black the ruling might have been different.

Just when you think South Africa is moving forward with regards to race issues ... events like this remind us the country has a long way to go.

Photo of the day: Is D'Banj kissing this lady or just talking to her?

The Koko master was photographed kissing a mystery lady or maybe they are just talking? at Tuface Idibia's birthday party on Sunday...

MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA MARY MWANJELWA AMWAGA MISAADA MBEYA

Mbunge wa viti maalum mkoani Mbeya Dk Mary Mwanjelwa akimshangaa mtoto aliyejifungua akiwa na umri mdogo wa miaka 16 na kuachishwa shule, Hivyo ameitaka Sekta ya Elimu kuwachukulia hatua za kisheria wale wote wanaosababisha wanafunzi wa kike kukatisha masomo baada ya kupata mimba.
Katikati ni Kaimu Mganga mkuu Hospitali ya Wilaya ya Mbozi Dk Yessayah Mwasubila ambaye pia ni Mratibu wa kitengo cha UKIMWI (CTC), akimpa maelezo ya Hospitali hiyo Dk Mwanjelwa.
Hawa ni Wauguzi wa Hospitali hiyo ya wilaya wakishuhudia kupokelewa kwa magodoro 57 kwa ajili ya wadi ya Wazazi na watoto iliyotolewa na Mbunge wa viti maalum Dk Mwanjelwa.
Wa pili kushoto mwenye suti ya kijivu ni Mkurugenzi mtendaji wa Wilaya ya Mbozi Bwa Levson Chilewa akishukuru mara baada ya kupokea shehena ya Magodoro.
Muuguzi Bi Monica Nsangu licha ya kustaafu lakini anaipenda kazi hiyo ameamua kuendelea kusaidia kutoa huduma.
Dr Mwanjelwa akimkabidhi magodoro Mkurungezi Mtendaji wa Wilaya ya Mbozi Bwana Chilewa magodoro 57.
Wajasiriamali wanawake wa Kijiji cha Isansa, wakiwa na bidhaa mbalimbali lakini Serikali, Taasisi za kifedha na wadau mbalimbali wawawezeshe akina mama hawa kupatiwa elimu ya Ujasiriamali na mikopo ili waweze kuzikomboa familia zao katika wimbi la umaskini.
Na sisi twaweza bwana kama unavyoniona, sikosi mkate wa kila siku na watoto waenda shule.
Dk Mwanjelwa akipokelewa na wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Kata ya Isansa, wilayani Mbozi.
Dr Mwanjelwa akizundua Bweni katika shule hiyo ya Sekondari na Bweni hilo lilipewa jina la MARY MWANJELWA ambalo ni jina lake kamili, Ambapo ameahidi kutoa vitanda 16 kwa ajili ya bweni hilo la wasichana.
Dr Mwanjelwa akifungua kitaambaa ikiwa ni ishara ya kuzindua bweni hilo litakalo chukua wanafunzi 64 wa kike.
Bweni likiwa limeshazinduliwa na kuwataka wanafunzi hao kulitunza bweni hilo ili liweze kutumiwa na vizazi vinazyokuja.
Taswira ya mbele ya Bweni hilo lililopewa jian la Mary Mwanjelwa.
Dr Mwanjelwa akikabidhi veti katika mahafali ya 11 ya shule ya Sekondari Isansa, wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya.

DR MARY MWANJELWA AZINDUA VIFAA VYA MUZIKI KANISA LA MORAVIANI USHARIKA WA RUANDA JIJINI MBEYA

Mheshimiwa Dk Mary Mwanjelwa ambaye ni Mbunge wa viti maalum mkoani Mbeya akikabidhi Vyombo vya muziki vyenye thamani ya shilingi milioni 15, kwa Kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la Kusin Magharibi, Ushirika wa Ruanda Jijini Mbeya. Kulia aliyevalia Joho jeupe ni Mwenyekiti wa Kanisa hilo Mchungaji Nosigwe Buya ambaye alipokea vyombo hivyo
Wanakwaya wakipiga vyombo walivyokabidhiwa na Dk Mwanjelwa.
Bwana Mboka Mjafula aliyeinama na kulia ni Sifael George wakirusha matangazo ya moja kwa moja ya Ibada hiyo kupitia kituo cha Baraka FM Radio ambayo inamilikiwa na kanisa hilo.
Mwenyekiti wa kanisa la Moravian Mchungaji Buya akimtambulisha Dk Mwanjelwa mbele ya waumini wa kanisa hilo
Kwaya kuu iliyokabidhiwa vyombo
Mchungaji Buya ambaye ni Mwenyekiti wa kanisa hilo akihubiria waumini Neno la MUNGU
Maandamano yakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa kanisa la Moravian Mchungaji Zacharia Sichone, ambayo yalianzia katika nyumba ya mchungaji Kanisa la Moravian Ruanda na kuelekea Kanisani.
Hii ni kamati iliyoratibu upatikanaji wa vyombo hivyo vya muziki kutoka jijini Dar es salaam wa kwanza kushoto ni Bwana Jacob Mwasanga, anayefuatia Charles Mwakyusa(Bwana Mipango), Katibu ni huyo Binti wenye sketi ya Pink Grady Mwasalemba.
Kwaya ya vijana Ruanda
Kwaya ya NLC kutoka Kiwila wilaya ya Tukuyu ambao walialikwa katika sherehe za uzinduzi wa vyombo hivyo.
Dk Mwanjelwa katikati akiwa na akiwa na Mwenyekiti wa soko la Sido Mwanjelwa lililoungua Bwana Charles Syonga.
Dk Mwanjelwa akiingia katika ibada.
Zoezi la uimbaji wa nyimbo kutoka kwenye vitabu ukaanza.
++++
Na mwandishi wa Mbeya yetu Blog
Mbunge wa viti maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mbeya Dakta Mary Mwanjelwa amekabidhi msaada wa vyombo vya muziki vyenye thamani ya shilingi milioni 15 ambapo alichangia milioni 4 kwa wanakawaya wa kanisa la Moroviani usharika wa Ruanda Mbeya.
Dakta Mwanjelwa amesema msaada huo ameutoa ili kuiwezesha kwaya hiyo kuongeza nguvu ya kuhubiri Neno la Mungu kupitia uimbaji.
Pamoja na misaada hiyo pia Dakta Mwanjelwa ametoa misaada ya vitanda na magodoro kwa hospitali ya wilaya zilizopo mkoani hapa ili kuboresha huduma za afya hasa kwa wanawake wajawazito. chanzo Blog ya Mbeya yetu