Adverts

Sep 29, 2010

SIKU TULIPOTEMBELEA OFISI YA DC WA ISOKA ZAMBIA

Hapa ndipo ofisini kwa mkuu wa wilaya ya Isoka Zambia, Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mbozi Aden Mwakyonde akiwa na Mstahiki meya wa jiji la mbeya wakisaini kitabu cha wageni kwa mkuu wa wilaya hiyo kwenye vikao vya ujirani mwema. Kwa taarifa yako Zambia ipo kwenye hatua za kufanya reforms za kuanzisha local govt, hawana wenzetu kule yaaani walitushangaa kishenzi