Hapa hiki kitu inaitwa Kimondo sawa sawa !!!

hii kitu inaitwa Kijungu kwa kinyakisya- au daraja la mungu 

 Nia pale pale daraja la mungu pamoja na pango lake la asili
 Hapa ndipo alipobatiziwa mmisionary wa kwanza kufika Rungwe alikuwa anaitwa mwakasungula, miaka ya 1880!