Adverts

Jul 22, 2011

CHUO CHA MIPANGO DODOMA KUWA NA JENGO REEFU KULIKO YOTE MKOANI DODOMA

Ukumbi wa Mwalimu Nyerere uliopo Chuo cha Mipango Dodoma kama nilivyouona nikiwa kwenye mazingira hayo jana

Jengo refu kuliko yote Mkoani Dodoma litakalokuwa na Ghoroga Nane likiwa kwenye hatua za unjenzi nyuma ya Ukumbi wa Mwalimu Nyerere katika chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Dodoma, jamani mipango mie sijui nilie manake enzi nikisoma hapo jamani majengo yalikuwa baado lakini sasa vitu vimeota kama uyoga!!!!

Nani kakwambia darasa linaangalia utu uzima, hapa naelekezwa namna ya kuboresha logical frame work! ama kwa kiswahili mnaita Bao Mantiki

Hapa wazee wangu hawa wa Chuo cha Mipango wakisukuma draft kwa burudani zao wakati wa mapumziko getini, raha kweli!