Adverts

Jul 22, 2011

HII NI DODOMA, MAKAO MAKUU YA TANZANIA



Hapa ni Anglican cathedral


Msikiti Mkubwa uliopo Dodoma karibu na eneo la Chako ni chako, nimeukubali mandhari zake hasa masaa ya jioni

Ndege ikitua katika uwanja wa ndege wa Dodoma kama nilivyoinasa nikiwa katika harakati za kuelekea chuo cha mipango
Mnara uliopo karibu na ofisi za TAMISEMI wenyewe tunaita round about