Adverts

Oct 29, 2013

TIMU YA WATAFITI WA NINI KIFANYIKE KUREJESHA MAHUSIANO MTWARA

Baada ya Mvutano wa Haitoki inatoka Mtwara !! timu ya asasi zisizo za kiserikali wanachama wa Tanzania Coalition for Debit and Development TCDD walipiga kambi huko kutafiti namna ambapo wananchi na serikali watarejea mahusiano ya awali na kujenga kuaminiana baina yao.