Adverts

Apr 7, 2009

CHIFU NAYE YUMO KUPAMBANA NA UJINGA

Hii ni timu ya Mila na desturi iliyomkaribisha JK alipotembelea wilaya ya Mbozi, alivishwa pamba za kimila kumtambua kama "mwene" mzee huyu kutoka kijiji cha Hatelele anasisitiza kuwa pamoja na kupewa uchifu, jukumu kubwa ni kuhakikisha watoto wa Mbozi wanakwenda shule!