Adverts

Sep 29, 2010

HIVI WANAPOZIPIGA KAVU KAVU NI UCHAKACHUAJI WA AMANI AMA

 Unafikiri sikuogopi nakuogopa oooooh!!!! ndivyo anavyotamka huyo mwenye ka kijani kabla hajabanwa na haja ya kichapo
Oooh Adija naye hataniwi!!! yaani ameamua kumfanyia mwenzake fumu!! aah yanini malumbano bora tuzichape kavu kavu kama ni masuala ya kuchakachua amani mie sijali bwana, ila nikichaniwa nanihii itakuwa mbaya !!!