Adverts

Oct 28, 2010

Hivi ndivyo jamaa wa yebo yebo Tunduma wanavyofanya, wengi wao leseni zao ni vitambulisho vya kupigia kura hivyo hawafahamu taratibu za barabarani, jamaa ameamua kutuma meseji katikati ya barabara katika eneo la kona ya Shangazi hotel jana mchana.