| Rais Jakaya Kikwete akishiriki katika ufunguzi rasmi wa kikao cha 21 cha Marais na Wakuu wa nchi za Jumuia ya Afrika jijini Addis Ababa kilichoanza tarehe 30.1.2011. | 
| Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishiriki katika ufunguzi rasmi wa kikao cha 21 cha Marais na Wakuu wa nchi za Jumuia ya Afrika kinachofanyika Addis Ababa tarehe 30.1.2011. | 
| Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mheshimiwa Mwai Kibaki wakati wa kikao cha Marais na Wakuu wa nchi za Jumuia ya Afrika kinachofanyika Addis Ababa tarehe 30.1.2011 | 
 
