Daladala ililipuliwa na Bomu!!!!!!!!!!!!!
Watu walijiokoa nyoyo zao!
Wengine waliamua kwenda kwa miguu kukimbia kadhia
Sumatra ilifumba macho watu waokoe maisha yao kwanza
Tuhame mwanangu!!!!!!!!!!!!!!
UWANJA WA NDEGE WA Mwalimu JK Nyerere ulikuwa hivi!!!!!
Miundombinu , Umeme na mambo mengine viliharibiwa
Lipumba aliwatembelea wahanga na kuwafariji
Haya ndiyo madude yaliyolipuka