Adverts

Feb 2, 2011

JK na Freeman Mbowe leo

JK na Freeman Mbowe leo: "
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa upinzani Bungeni ambaye pia ni Mbunge wa Hai Mh. Freeman Mbowe leo wakati wa sherehe za Siku ya Sheria nchini katika viwanja vya Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo
"