
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Ubora wa Viwango nchini (TBS),Bw. Charles Ekelege akimkabidhi cheti cha ubora wa viwango Mkurugenzi wa Kampuni ya Fekoni Motorcycle,Bw. Andowy Guo wakati wa hafla fupi iliyofanyika mchana wa leo katika makao makuu ya shirika hilo,Ubungo jijini Dar.

Warembo wakiwa wamekaa juu pikipiki zinazotengenezwa na kampuni ya Fekoni.
"