Adverts

Oct 9, 2011

KANDORO AANZA KWA KUJISALIMISHA KWA MAPAPARAZI

Hizi ni ofisi za chama cha wandishi wa Habari mkoani Mbeya  ambapo mkuu wa mkoa ametembelea hivi majuzi!

Meya wa Jiji la Mbeya Mstahiki Athanas Kapunga akizungumza neno kwenye ofisi za chama cha wandishi wa habari mkoa Mbeya

Mkuu wa mkoa Mbeya Abbas Kandoro akiwa amepozi na viongozi wa klabu ya wandishi wa habari Mkoani Mbeya



Mwenyekiti wa Klabu ya wandishi wa habari Mkoa wa Mbeya Christopher Nyenyembe akizungumza jambo mbele ya mgeni wao.

Mkuu wa mkoa Kandoro akisaini kitabu cha wageni