![]() |
Hizi ni ofisi za chama cha wandishi wa Habari mkoani Mbeya ambapo mkuu wa mkoa ametembelea hivi majuzi! |
![]() |
Meya wa Jiji la Mbeya Mstahiki Athanas Kapunga akizungumza neno kwenye ofisi za chama cha wandishi wa habari mkoa Mbeya |
![]() |
Mkuu wa mkoa Mbeya Abbas Kandoro akiwa amepozi na viongozi wa klabu ya wandishi wa habari Mkoani Mbeya |
![]() |
Mwenyekiti wa Klabu ya wandishi wa habari Mkoa wa Mbeya Christopher Nyenyembe akizungumza jambo mbele ya mgeni wao. |
![]() |
Mkuu wa mkoa Kandoro akisaini kitabu cha wageni |