Adverts

Nov 11, 2011

Raia wema wakivukishwa barabara eneo la mapambano maeneo ya kabwe
Moja ya gari lililopasuliwa kioo na baruti
Wamachinga wakishangilia baada ya kuwazidi polisi nguvu
Nivurugu tupu maeneo ya soweto jijini mbeya
Wamachinga wakichochea moto wa matairi katikati ya barabara ya mbeya na tunduma