Ni
miaka mitatu kamili tangu siku ile ya Disemba 06, 2008, Mpendwa Baba
yetu Amulike Mwamikili Mwakyembe ulipotutoka. Hata hivyo watoto,
wajukuu, vutukuu na wana ukoo wote wa Mwakyembe tunaamini bado upo
pamoja nasi tukiishi katika busara zako, tunakuenzi na kukumbuka daima.
Mwanao Felix Mwakyembe