Indaba blog is rural based online news for rural and urban community!!
Adverts
Dec 11, 2011
Mapaparazi wanne kati ya 15 ndiyo waliofanikiwa kufikia kilele cha Mlima K'njaro
Kundi la vijana waliofika kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro wakisherehekea miaka 50 ya uhuru juu ya kilele cha mlima huo juzi, Msafara huo uliandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania na Kampuni ya Utalii ya Zara Tours.