Adverts

Jan 29, 2012

GARI YA MH. DIWANI KATA YA SISIMBA MBEYA LAANGUKIWA NA MTI

Gari ya mheshimiwa diwani Geofrey Kajigili wa kata ya sisimba jijini mbeya likiwa limeangukiwa na mti ulioangushwa na mvua ilioambatana na upepo mkali
Mh. diwani Kajigili anaeongea na simu akiwa na mzee shariff na majirani wengine waliokuja mpa pole