Adverts

May 1, 2012

ATI SERIKALI INA UBIA NA WALA RUSHWA

Risala ya vyama vya wafanyakazi mkoani DODOMA imeituhumu serikali kuwa ina ubia na wala rushwa na ndiyo sababu imekuwa ikifumbia macho kushuhulikia kero hizo,
wakisoma mbele ya mkuu wa mkoa wa Dodoma wafanyakazi mkoa wa Mbeya wameonyesha hofu yao kuwa kufanya hivyo kumekuwa kukiwakatisha tamaa.
more  sooon