Adverts

Aug 4, 2012

Mbunge wa Monduli(CCM)Atoa Katoni Za Tende na Jozi 100 Za Kanzu Kwa Ajili ya Waislam wa Monduli

Mh
Lowassa akimkabidhi sheikh Simba sehemu ya tende hizo.Wengine pichani
kushoto ni Sheikh wa Mto wa Mbu Sheikh Nasib Idd Nasib Mnyema Kkatibu wa
Bakwata wilaya ya Monduli Idd Idoya na Ustadh Swalehe Ramadhan .
Waziri
Mkuu aliyejiuzulu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa, ametoa
katoni kadhaa za tende pamoja na jozi 100 za kanzu kwa ajili ya Waislam
wa Monduli.Akipokea msaada huo, sheikh wa wilaya ya Monduli Sheikh
 Mwinshehe Mwinyimgeni Salum Simba, alimshukuru mh Lowassa kwa utaratibu
wake huo ambao amekuwa akiufanya kila mfungo wa mwezi mtukufu wa
Ramadhan kwa Waislam wa Monduli.

kutoka swahili villa