Adverts

Mar 4, 2013

LUTHERAN WAZIDI KUPANUA WIGO WA ELIMU SASA NI MAKUMIRA TAWI LA MBEYA


ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa akikata utepe kuzindua chuo kikuu cha Tumaini Makumira tawi la Mbeya

Viongozi mbali mbali wa mkoa wa Mbeya walihudhuria uzinduzi huo
 U
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiluthei Dayosisi ya Konde Askofu Dk. Dr.Israel Mwakyolile akisoma somo la kwanza katika ibada ya uzinduzi wa tawi hilo 


Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo wakurugenzi watendaji wa halmashahuri mbalimbali za wilaya mkoani Mbeya wakifuatlia hotuba ukumbini humo (katikati ni Bi Silvia Siriwa- DED ILEJE).


 Mara  baada ya ibada  Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiluthei Dayosisi ya Konde Askofu Dk. Dr.Israel Mwakyolile akielezea historia fupi ya chuo hicho kwa wageni waalikwa
Mkuu wa chuo cha Tumaini Mkumira tawi la Mbeya Dk Gwamaka Mwankenja akisoma risala mbele ya mgeni rasmi mkuuu wa mkoa Mbeya
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa akimkaribisha mgeni rasmi mkuu wa mkoa mbeya Abasi Kandoro 
Mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akihutubia katika uzinduzi wa chuo hicho cha Tumaini makumira


Hili ni jengo la utawala chuoni hapo
PICHA ZOTE KUTOKA MBEYA YETU BLOG