Adverts

Mar 21, 2013

MIRADI YA UMWAGILIAJI SASA KUMKOMBOA MKULIMA MBOZI




Huu ni mmoja wa miradi mikubwa ya umwagiliaji unaojengwa katika kijiji cha Iyula wilayani Mbozi, mradi wa skimu ya umwagiliaji unatarajiwa kuwanufaisha wakazi zaidi ya 600 katika eneo la umwagiliaji lenye hekta 300 katika tarafa ya Iyula