Adverts

Jan 27, 2014

ENZI ZA SOMO LA SIASA SIKUMBUKI KUFUNDISHWA BENDERA HII

Ninaamini kuna hatua zimechukuliwa katika ufundishaji kwa shule za msingi, kwani wakati huo tukisoma somo la siasa sikuwahi kufundishwa juu ya bendera ya rais, zaidi ya bendera ya CCM wakati ule na ile ya Taifa, lakini katika makuzi nikaja kukutana na bendera hii na katika uliza uliza nikaambiwa ni bendera ya Rais